Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MOST WATCHED VIDEO

MAHUSIANO KATIKA MAENEO YA KAZI

Mapenzi: Kwa nini kuwa na mahusiano ya kimapenzi kazini mara nyingi huwa hakuepukiki? Mambo yanayo changia kuanzishwa Kwa mahusiano kazini 1)kumtumia mfanyakazi mwenzako emoji za kihisia. Kutokana na ukaribu uliopo ofisini Kwa wafanyakazi wanapata nafasi ya kutaniiana Kwa njia mbalimbaliikiwemo kutumiana emoji kwenye simu ,kompyuta. Licha ya hayo, wafanyakazi wamepata njia ya kuendelea kutaniiana na wenzao, jambo ambalo linaonesha kutoepukika kwa mahusiano ya mapenzi ofisini au mahali pa kazi. Februari 2022 data kutoka Jumuiya ya Marekani ya Usimamizi wa Rasilimali Watu (SHRM) inapendekeza mahusiano ya mapenzi ya mahali pa kazi yanaweza kuongezeka hata wakati wa kufanya kazi nyumbani. Theluthi moja ya waliohojiwa kati ya 550 walijibu kwamba walianza uhusiano na wenzao wakati walipo anza kazi katika kampuni hilo. Mahali pa kazi ni msingi mzuri wa mapenzi na mapenzi ya muda mfupi, ilhali kampuni nyingi hazipendi mahusiano ya kimapenzi kazini . Wataalamu wanasema kuna sababu maalum ambazo...

AFRIKA TUMEJALIWA VAZI LETU LA KITENGE TULIENZI NA KULI TUNZA

         Nchi mbalimbali hijivunia mavazi yao.Ila bara la Afrika tumejaliwa kila neema ya kila kitu.
Ukiizungua  Afrika huta acha kuzungumzi vitu vifuatavyo.


  • Mwafrika na tamaduni zake zi nazo jumuisha
  1. Mavazi
  2. lugha
  3. chakula
  4. michezo na burudani mbalimbali
  • Rasilimali zilizopo Afrika
  1. Misitu na wanyama wa kuvutia
  2. Madini
  3. Nishati
  4. Vyanzo mbalimbali vya maji
Mwafrika na vazi lake la kitenge
                                               
                                               

                                                                   

Vaziletu













                         

                                      Urembo wa Mwafrika ndani ya kitenge
                                                   

                               

                                        Mwonekano wetu ndani ya bazee





                                           


                              Urembo wetu wa kitamaduni katika mabegi yetu na viatu vyetu
                  kweli Afrika tunajivunia tutembeleehttps://www.facebook.com/felixheryson/


                               


Maoni

Machapisho Maarufu